Nashukuru sana kwa ushauri nasaha ulizonipatia,kwakweli pressure huwa inapanda sana ninapoona timu yangu ikifungwa tena kizembe,nitajitahidi kuachana na mambo hayo ya ushabiki nadhani nitafanikiwa.Ahsanteni sana.
Mimi ni mshabiki mkubwa wa Dar es salaam Young African ya Tanzania pamoja na Liverpool Fc ya England.Kutokana na mwenendo mzima wa timu ninazozishabikia naona upo umuhimu wa kutuliza mawazo kwa kuchagua kwa muda timu zingine zinazofanya vizuri katika mashindano mbalimbali kwani 'kama mtu anaweza...
Ni wazo zuri sana lakini ingekuwa vizuri zaidi kama wasahauri wa raisi wange jaribu kuomba ushauri kwa wananchi kabla ya kumuweka raisi runingani na watu wakamuuliza maswali,ninachokiamini,wapo wana nchi wenye uwezo mkubwa wa kumshauri raisi kuliko ninyi mlioteuliwa kwa sasa.kwa kuwa hata nyie...
Nikweli unachosema Pengo naomba utupe mwongozo,ukizingatia chanzo chaufisadi,uwajue mafisadi ni nani,pia uanzie humo ndani ya kanisa kuwa fichua nautangaze kabisa.watu wamtanbue ndani ya kanisa,kama kanisa mpaka leo sijasikia mkimtenga muumini kwa kuwa fisadi inakuwa vipi unatangaza una pingana...
huko ni kuchekesha watu wamezaliwa katika maeneo hayo wame kulia hapo leo mnawadai vitambulisho ili waandikishwe kwannini hamkuanza kutoa hivyo vitambulisho au kufanya tu sensa ndogo ya kujua nani ana cheti cha kuzaliwa na nani hana ili itakapofika katika zoezi hili iwe rahisi.leo mnawasumbua...
ina maana viongozi wa dini kazi ya uchungaji ime washinda? nianacho kifahamu ni hiki ikiwa mtaweza kuwalingania waumini wenu kuwa wanyenye kevu kila siku wanapotoka kwenye mikusanyiko ya ibada ingetosha kabisa kuya maliza haya.ni ajabu sasa viongozi wa dini mmeacha kabisa mambo ya dini mna...
Kibanda sijuhi cha nyasi au mabua!Acha ujinga hapa inaonekana wazi tatizo ni ukabila kwavile Zitto hatoki kaskazini,acha hizo.Mpiganaji Zitto endeleza mapambano ndani na nje ya Chadema,kura yangu ipo palepale tarehe 4/9/2009 tunataka utuongoze kuanzia Chadema hadi Taifa.
hapana ni mapema sana kusema hivyo nadhani killa mwanachama nihi yake ya msingi kugombea cheo chochote katika chama.wanaojitokeza katika kugombea kwanza inabidi wapongezwe,hii siyo tu kuleta ushindani ndani ya chama bali pia kukiimalisha chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.