Msaada wadau nimekuwa nikibanwa mkojo kwa muda mrefu bt unfortunately nikitaka kukojoa mkojo hautoki, unakua unauma tu lakini hautoki.
Mwenye ufahamu wa hili msaada tafadhali.
Habar ya asubuh ndugu zangu.....jaman mwenye kufahamu kuhusu upatikanaji wa kazi ya ualimu ngazi ya stashahada na cheti(walimu wa vyuo hivi,government lakin)...anifahamishe tafadhali
Toka mlivowapa pesa ya kujikim ya cku 4,cku ya tar 2/4 mpaka leo kimya,nauli zao hamjawapa na pesa yao ya cku 3...mnategemea waish vp hawa watumish wetu uku ugenin..?kuwen wastaarabu
Cku ya kwanza kuripoti afisa utumishi wa manispaa aliwaambia walimu wapya waliopangiwa shy manispaaa kwamba watapewa pesa ya cku 4,coz govt imetuma pesa nusu,wakapewa pesa ya cku 4 cku ya tar 2/4..just imagine watu ni wagen shy,watalala wapp,watakula nn ugenin....tafadhal wapen pesa zao...
Wakati wapinzan wa yanga national al ahly waki2ma wawakilishi kuja kutazama mech kati ya yanga na hao wa comoro,klabu ya yanga imethibisha kua haiwezi kutuma watu wake wa ufundi kwenda kuwatazama wapinzan wao wanavocheza,badala yake wanaomba ubalozi wa tz nchin misri na baadhi ya wa tz waishio...
Subakher wakuu,,
kuna katabia kwa wabunge wetu wawapo bungeni,mbunge kasimama anachangia hoja,lakin unakuta wabunge wengine wamesimama,wengine wanatoka nje,wengine wanapiga story..yan bunge linakua ka daraa la chekechea wadau..wahucka waliangalie hili coz ile ni place ya heshma,ustaarabu ni ki2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.