Zambia yote mafuta yao ni bei moja nchi nzima hazipishani ni sheria,
Petrol Kwacha 17.56 ( 1,756 T/ shs)
Diesel Kwacha 15,42 (1,542 T/ shs)
So magari yote ya binafsi including buses yaliyo karibu na border y anaingia Zambia kujaza mafuta, ila yakipungua foreigners car hawauziwi, ni Zambian...
Kikubwa bi Pre March meeting ilifanyika asubuhi na kila timu ikawasilisha list ya wachezaji, na waamuzi wakatambushwa, kawaida ikifanyika pre March basi mchezo upo
Mechi inaweza kuahirishwa au kusohezwa mbele chini ya masaa 24 kama tu
■ Kuna tishio la kigaidi au bomu uwanjani
■ Hali ya hewa kutoruhusu mchezo kuchezwa.
■ Majanga ya ya kidunia kama tetemeko la ardhi au kimbunga kikali.
Lakini siyo nje ya hapo
Sheria inasema muda wa mchezo ukikaribia ingiza timu uwanjani, na baada ya muda wa mchezo kufika subiria nusu saa uwanjani kama.timu haijaingia uwanjani ondoa timu uwanjani na inahesabika mpinzani hajafika mchezoni, Yanga waliondoa timu saa 17:30 hapo Simba anahesabika amekimbia mechi.
Kwanza kabisa kanuni inasema muda wa kubadilisha muda wa kuanza.mchezo atleast ile masaa 24, na body ya ligi ilibadilisha muda kutoka saa 11 jioni mpaka saa moja nje ya wakati yaani saa nane mchana ndiyo wakabadilisha mechi, inamaana masaa 3 tu na kanuni inasema.kiwangu kifupi ni masaa 24...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.