jioni ya leo nimetumiwa ujumbe mfupi na afisa wa jeshi la polisi makao makuu kunijulisha kwamba natakiwa kuhudhuria vipimo vya afya ktk hospitali ya polisi kilwa road dar es salaam.
yap kwa maelezo yaliyokuwepo kwenye sms waliyonitumia walisema majina yapo kwenye tovuti yao.
nikaingia sikuyakuta, nikaenda wizara ya mambo ya ndani. nikakutana na ofisa wa ICT wa jeshi la polisi,akaniambia wameshindwa kuyaweka majina hayo kwenye mtandao kutokana na hitilafu kwenye server yao...
mie niliapply mwezi wa saba, leo nimetumiwa sms ya kwenda kwenye usaili pale DIT wiki ijayo.
wamesema majina yote yapo kwenye tovuti yao ; www.policeforce.go.tz.
Ukiona gamba JK anasoma risala sehemu wafuate mmoja kati ya wale jamaa karibu yake ambao masikioni wameweka vifaa vya mawasiliano.ongea nao fresh watakupa mchongo.
Mi nipo huko lakini nipo na msanii mtoto wa mkulima.ila uwe ni mnafiki haswa,mmbea vilivyo na damu yako ikichanjwa iwe ya kijani...
Baada ya kuisoma katiba yetu feki na chakavu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania,nimegundua kwamba waziri mkuu mizengo pinda hana vigezo vya kuwa katika wadhifa huo kwa mujibu wa katiba yetu.
Kwanza na kimsingi,katiba inasema kwamba waziri mkuu ni lazima awe mbunge wa kuchaguliwa kutoka ktk...
Ninasikitishwa kuona serikali iliyopewa ridhaa kwa niaba ya wananchi inayatolea maamuzi mepesi mambo ambayo yanagusa maisha ya watanzania walio wengi.
Tulianza na uhaba wa umeme,tukapigwa danadana.Na sasa limekuja suala la mafuta,serikali inatoa kauli zisizo na mashiko.
Bado ningali na kigugumizi na sintofahamu baada ya kampuni ya kimarekani symbion kununua mitambo ya dowans.Ninachofahamu,kwa mujibu wa utaratibu wa kimahakama,shauri lolote lililo mahakamani hakuna mtu wala taasisi inayoruhusiwa kulizungumzia wala kuendesha mchakato wowote.kama ni hivyo,kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.