Yeyote kama yumo ndani ya jamvi aliyesoma kipindi hicho au hivi karibuni atujuze matokeo na maendeleo kwa ujumla.
Kipindi cha 1990, tulikuwa 25 tuliofanya mtihani wa taifa wa IV. Je miliofuatia mlikuwa mnaongezeka au shule imeboronga kabisa?
Asanteni.
First of all i am apologising on the name of holy name of JF sitarudia tena in using undisqulified language which i used involunterily
Haya wanajamii niliingia hapa JF yapata mwaka sasa bila ya kuomba ukaribisho.
pia hivi majuzi nilighafilika nikafungiwa kuingia janmvini kwa sasa nimepata...
Ndugu wana JF Hbari za hapa nyumbani natumaini wote wazima wa afya.
Wandugu, nina swali langu kwamba ni chuo gani kinachojulikana kitaifa / kimataifa au nikionyesha cheti cha ukalimani kikubalike huku ughaibuni? Kwa ujumla ninahitaji kozi fupi, pengine UDSM na ni kwa muda gani? Msaada wenu...
Wanajamii kama siyo kuirudisha hii hoja basi naomba msaada katika hili.
Ni kwa nini pete yando huvaliwa mkono wa kushoto kidole chapili kutoka cha mwisho??
Lugha yaweza ikawa kikwazo lakini ujumbe unaejieleza.
Thak you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.