"11 wafutiwa mashtaka na DPP..." Huwa kuna vigezo vinawasilishwa sehemu ili uweze kufutiwa mashtaka au inakuwaje? Mamlaka ya DPP huwa yanatekelezwaje? Kuna wa kumuhoji DPP...? Lengo langu kubwa nieleweshwe...
Halafu wewe unapomfumania mwenza wako, kosa linakuwa si la uliyemkuta naye bali nk la mwenzawako maana yeye ndiye mmefunga naye mkataba wa kuishi pamoja kwenye shida na raha! Ni yeye ndiyo kaenda kinyume na mkataba na kukusaliti...mchawi ni mwenzawako na si mwingine!!! Tena wakuta alijinadi kwa...
Mgoni adhabu yake huwa ni kutozwa faini, na faini hiyo huwa ni ndogo haifiki hata laki moja, mara ya mwisho ilikuwa 50 elfu...sasa mlawiti mtu uone cha mtema kuni!!!
Vitabu vya dini huwa na lugha ya picha sana...kuna vitu waweza elewa tofauti kabisa na kinachokusudiwa! Hayo yapo kwenye Bible na Quran pia...hivyo, hapo pana lugha ya picha ila kwa bahati mbaya mimi nimeshindwa Kung'amua!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lake bwana Robert ni kuhisi nchi ni ya kwake peke yake na wananchi wengine ni wapangaji...haya sasa mwenye nyumba anataka kupewa notsi!!! Sisi majirani zake, yetu macho!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.