Wewe unatumiwa na nani? vijana tuache kuwa daraja la wanasiasa...kwan cc ndo tunapata shida ya kujenga chama huku wilayani kwa hiyo penye kasoro lzm tuhoji.
Hajakwambia yy ni ccm wala chama gani anachotaka yy ni majib ya maswali yake, cdm bwana tumeaminishwa vibaya na viongoz wa taifa mtu akiuliza au kuhoji kitu kinachogusa masilahi yao utaambiwa msaliti, hilo hata mm limenitokea mara nying nikihoj jambo ktk kikao naambiwa mpambe wa zito, je kwa...
Acha siasa chafu mtu akihama cdm na kujiunga na chama kingine cha siasa mnasema msaliti mbona mtu akitoka ccm,cuf,nccr,nld,tlp akijiunga cdm hamsemi msaliti? msaliti ni yule anayehama chama pinzani na kujiunga ccm huyo ndo hafai kabisa.
ACT-Tunawaomba mfike hata huku mbeya kwan sera yenu tumeikubal km tunavyowakubal chadema, pili mtu kuhama chama anaitwa msaliti tuache fikira mgando tunajenga nyumba moja kwa nn tugombee fito! tuache chuki na zito kabwe
Ni sheeeedaaa! soka la bongo limevamiwa na viongoz wabaishaj hebu fuatilia background za kaburu kuhusu issue ya kumpa mulungula kado utagundua ushindi mwingi wanaupata kwa njia haramu na ujanja ujanja tu.
Hawa ndo wanatufanya tuliosomea fani ya waamuz tz tuzaaurike na tushindwe kuchezesha mashindano ya nje,
mwamuz ameonesha dhahir shairi alikuwa na lake jambo hawa ndo wanaosababisha soka la bongo lizidi kudidimia na kupata bingwa asiye halali na kupelekea vilabu vyetu kuboronga kimataifa, soka...
Acheni chuki na watu wangapi mlikuwa ccm mmekuja cdm tumewapokea? kosa gani kubwa alilofinya bana haliwez kusameheka? mbona pro jay alikuwa mpiga kampen wa maccm na bado cdm tumempokea tumpe nafas kwan akileta usaliti tutashindwaje kumtimua km wengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.