Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,323
Kama heading ilivyo naomba uongozi wa TFF na wadau wote wa soka wachunguze mechi ya Simba na Kagera iliyopigwa Shinyanga.
Binafsi nimechukizwa na mwamuzi wa mchezo huo kwa kuonesha upendeleo wa wazi kwa timu ya Simba, mfano ile penati ambayo mpira ulifuata mkono na hakukua na kusudio lolote la beki
Tukiacha hilo goli la refa dakika za mwishoni kama sikosei Isihaka alichukua mpira kwa mikono zaidi ya ile ya beki wa Kagera refarii akaacha.
Kiukweli haya ndio mambo yanayorudisha nyuma soka letu, huyu refa anastahili adhabu kali sana.
Binafsi nimechukizwa na mwamuzi wa mchezo huo kwa kuonesha upendeleo wa wazi kwa timu ya Simba, mfano ile penati ambayo mpira ulifuata mkono na hakukua na kusudio lolote la beki
Tukiacha hilo goli la refa dakika za mwishoni kama sikosei Isihaka alichukua mpira kwa mikono zaidi ya ile ya beki wa Kagera refarii akaacha.
Kiukweli haya ndio mambo yanayorudisha nyuma soka letu, huyu refa anastahili adhabu kali sana.