Tatizo ni uthubutu tu!. Watu wanashindwa kuchukua hatua katika maamuzi mengine kama biashara, kilimo nk. Wanachotaka ni ajira tu. Pooole kijana mwenzangu.
🤣🤣🤣, bora ilo la kuuliza ni biashara gani kwa ntakujuza wa laki moja,
Jamani kazi kazi kaaaaazi ni kazi kupata, mwaka wa nne sasa nimeitwa mara moja tu
Nashauri mtu tafuta hata elfu hamsini ya mtaji wa karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hizi biashara za networking naona 98% tunajua kua ni utapeli, labda niseme ivi kuna baadhi ya companies ndio haziko vizuri , ni sawa tu na biashara nyingine ambayo mtu anaweza anzisha na mwisho ikaenda ndivyo sivyo na kudondokea pua au ikaenda vyema akatusua. Binafsi naweza kushuhudia...
Tukisema tuanze kuchunguzana ko namna hiyo hakuna atakae kubali kuolewa au kuoa Kama binadamu alieumbwa na Mungu sio mkamilifu basi utapoteza muda sana wewe chukua yule aliefikia walau 60%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.