Search results

  1. Terminator

    Msaada kuhusu mikopo ya wanafunzi elimu ya juu

    Wakuu nahisi naingizwa mjini na ndugu yangu ambaye nilijitolea kumsomesha Tumaini, alijiunga na kuniletea joining instruction ikinionyesha kiasi cha ada na mahitaji mengine, ila baadae nimekuja kugundua kuwa ali-apply mkopo HESLB na kupata na wala hakunipa taarifa, kwahiyo nikawa natoa ada kama...
  2. Terminator

    Ushauri kuhusu ugonjwa wa kisukari

    Wana jf naombeni kujua kutoka kwenu maendeleo ya tafiti ya kupata tiba ya kisukari, maana ukimwi wataalamu wamejitahidi sana, ndio maana zamani mtu akipima akipewa majibu kuwa ana ukimwi watu walikuwa wanajinyonga ila sasa kuwepo kwa arv imekuwa mkombozi kwao. Moja ya tiba ambayo watu wengi wa...
  3. Terminator

    Hivi kuna mahusiano kati ya umaskini na kukosa utu!!!!!

    nimekuwa nashangazwa sana na akili za watu kutokana na matendo ambayo binadamu hufanya, maana katika maisha kuna binadamu wameamua kuishi katika aina fulani ya maisha, mfano mwizi au jambazi, ushoga, mlevi wa kupindukia,na mambo mengine mabaya kama hayo ambayo watu hao ndio identity yao katika...
Back
Top Bottom