Habari zenu, nina matikiti shambani natarajia kuyatoa wiki mbili zijazo yatakuwa tayari, nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi. Hivyo mwenye kuhitaji kuhitaji kuyanunu shambani kwa bei ya jumla tuwasiliane kwa 0657550354/0746019259
Ninayo matikiti maji shambani natarajia kuyotoa wiki mbili zijazo. Hivyo natafuta mjeja wa jumla anicheck kwa 0657550354/0746019259 nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi.
Habari zeni,
Mimi ni muuzaji wa asali mbichi original kutoka Tabora na Kigoma ipo nyingi sana kwa bei ya jumla ya 220,000/- kwa lita 20. Anayehitaji anicheck kwa kupiga au kunitumia sms au whatsapp kwa no.
Hii 0657550354
wanasema niwait mpaka chuo wapeleke feedback ndo wata diplay course nlyopata nljaza udsm na st.jose tu afu st.jose nackia wao wameshatoa majna ya 2round yote ila cna uhakka ndo maana nahc ntakuwa udsm maana wao ndo huwa wanachelewa kuleta feedback
hv kwa waliochagua 2round ST.JOSEPH dar wote tayar? nsaidieni wakuu maana katka selections ya 2round nlchagua st.joseph lakn mpka now hawajanchagua ila naomba hvyo wacnchague il npate udsm klichobak katka machaguo yangu,,,,maana waliopata udsm 2round bado hawajaachia majna,,,,, xo nijulshen km...
wakuu humu jamvn mm nliomba 2round UDSM na ST.JOSE lakn ST.JOSEPH nackia wao wameshawapa walioomba hapo km kuna alyepata au waliopata 2round UDSM anjuze maana nam dall znaonesha nmepata UDSM lakini university hawajapeleka feedback TCU,, nadhan ndo knachopelekea naambiwa nsubr kdgo kwenye profile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.