Tatizo hili linasababishwa na wananchi kwa asilimia kubwa, siku za mwanzoni walijitokeza wachache! Nakumbuka hata zoezi la usajili wa line za simu ilikua hivi, inabidi tubadilike.
kwa mdau anayehusika hapo nida, atupe taarifa kama majina yatawekwa hewani, nakumbuka walisema majina yatatoka kwenye magazeti, natumai yatatoka, au mpaka kieleweka hapo tume ya utumishi.
niliitaji jibu ndiyo au hapana ,naona unanishushua, ukweli nimeupata kesho jumanne wanamalizi kuitaviu watu wa security , kama ujaitwa ndo imekula kwako na kujaribu kucheck ustarabu mwingine.
tume inachemka inaita watu wengi sana, nibora kushortlist hata watu 10 kwa post moja, mwezi machi walifanya intaviu watu 56 kwa post moja, hata kama walichemka 50 naamini 6 walifanya vizuri cha ajabu wakatangaza nafasi nyingine tena, sio siri inauzi sana kwani wasomi wananyanyaswa,wakati wao...
nafasi 200 hazitoshi kabisa, ukizingatia idadi ya wanaomaliza vyuo ni wengi sana kuliko soko la ajila, imefikia wakati watanzania tufikilie ajira
binafsi, ni bora kulima kijijini kuliko kukaa mijini na kujiingiza katika mambo yasiyofaha .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.