Wakuu heshima kwenu.
Kuna jamaa wangu anasumbuliwa na tatizo la vipele usawa wa taya na vinamuwasha sana. Ni mwaka wa 12 ameshaenda hospitali nyingi bila mafanikio.
Pia kifuani kalianza kakipele ila kamegeuka na kuwa kama nyama na kanazidi kuota.
Vipele vipo kuanzia mwisho wa sikio kushuka...
wakuu heshima kwenu. itifaki ikizingatiwa.
ninatumia itel ambayo n smartphone ina tatizo la kujaa hata kama sija sija dounload chochote. internal memory ni 149mb. kila nikifanyia back up restore inakuwa vizur ila baada ya siku moja inanambie phone memory full delete some items.
afu aplication...
Mpenzi wangu ni nesi, aliniaga anakwenda semina ya kikazi, tangu juzi jana nikapigiwa simu na jamaa kuwa mpenzi wangu kaonekana nyumba flani ambapo wanaishi watu mbalimbali, na jamaa alinijuza kuwa alikua akinisaliti.
Nilimuliza mpenzi wangu akakataa katu na kuapa kwa mungu na kunikaripia...
wakuu, serikali yetu iko katika hali mbaya kiuchumi, huku taasisi binafsi zikiingiza faida kila kukicha jambo linalofanya baadhi ya watumishi wa serikali kutamani kufanya kazi katika sekta binafsi kwa kuwa mishahara minono inapatikana huko.
sticky to the point. nilienda kukopa pesa katika...
wakazi zaidi ya 700 wa vijiji vya kisogwe, Busunzu na Nyarulanga wilayani kibondo Mkoani Kigoma wamehama mtandao wa Voda rasmi baada ya kukosa netwek kwa takribani siku tisa mfulululizo baada ya mnara wa voda katika eneo hilo kuwa na hitilafu za mara kwa mara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.