Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Mh. Paul Makonda amepokea meseji tatu za vitisho kutoka namba zisozosajiliwa. Akizungumza na Millard Ayo alisema meseji hizo ni pamoja na
1.Kutishiwa Kutokana na kutetea maslahi ya wasanii.
2.kutishiwa maisha Kutokana Na kusimamia sheria na katiba.. (STK)...
Habari zenu wakuu. Jana usiku nilimuachia mtoto simu baada ya kurudi nikakuta simu imejilock na inaandika PLEASE ENTER THE PRIVACY PROTECTION PASSWORD/PIN.
Nimejaribu kuweka PIN ninayotumia siku zote imegoma, Mwenye ufumbuzi au ushauri msaada tafadhali.
Simu ni TECNO H6.
Kabla ya transfer nilichaguliwa DUCE Baed. Ila Nikaomba transfer ya kwenda NIT. Tena nikapewa fom maalum pale chuoni nijaze nakuipeleka tcu. Ajabu ni kwamba mkopo umetoka tofauti kabisa. Mkopo uko Archbishop Tabora. Sasa nashindwa kuelewa kama transfer yangu ililshindikana kwa nini wanipeleke...
MCHUNGAJI: Yeyote mwenye
pingamizi la haki kwa ndoa hii
asimame na aje mbele.
Mara kibabu kimoja kikasimama na
kwenda mbele...!
Bibi harusi alipomuona tu yule babu
akazimia...
MCHUNGAJI akamuuliza, tueleze
pingamizi lako!!.
Kibabu kikajibu: "Nimeamua kuja
mbele kwasababu kule nyuma...
World Vision Tanzania is seeking to recruit a
suitable candidate to fill the following
positions:
Job Ref No: WVT/P&C/F13/55
Job Title: Sponsorship and Program Facilitator
(192 Positions)
Reports to: Project Coordinator
Locations:
1. Eastern zone covering Tanga Region, Dar es
salaam and...
Jaman mimi sio mgeni saana ila kiukweli kuna mambo siyajui humu..
1.Ikiwa nimetoa thread yangu na member wakachangia ni jins gan nitaiona tena hyo thread ili nijibizane na member?
2. Ikiwa nataka kucoment kwa picha nifanyaje?? Maana kuna kpnd niliapload pcha kwenye coment lakin ckuiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.