Heshima yenu madoctors;
Samahani naomba kuuliza, hv inawezekana kwa mtoto kuzaliwa akiwa na blood gloup B+ huku wazazi wake ni A+ na O+? Kwa mwenye kufaham vizuri hii Biology naomba kujua tafadhali.
Nina simu aina ya NOKIA XL, awali ilikuwa inaoperate watsapp vizur, lakini ilipo expire ikawa tatzo niki instal watsapp naambiwa ''Deviece not supported'' What can I do wataalam, msaada plz
jamani! kwa nn kikwete hawezi ata kuwa na huruma kwa watz japo kidogo? yaan matatizo ya kifedha yanalikabili taifa mpaka waziri wa fedha kashakiri, fedha ya PT kwa wafunzi wa vyuo haijapatikana mpaka sasa ni wiki ya nne toka waanze field, walim na madactari wapya mpaka leo hawajapata fedha wala...
wana jamvi
napenda kuuliza, mm ni mfanyakazi ktk kampun fulan hapa nchi, kipindi cha nyuma makato ya mfuko wa jamii(NSSF)tulikuwa tunakatwa kwenye GLOSSY,hv karibun mwajili ametuambia kuwa makato ya NSSF yataanza kukatwa kwe basic saraly kwa kudai kuwa social security law imefanyiwa...
mkutano wa CHADEMA waingia dosari baada ya makanda wa CHADEMA kuelekea kwa mkuu wa mkoa kuongea nae akakataa na kuamru police watandaze kichapo sasa hv mabom yanapigwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.