habari wakuu
jaman naomba kujua kuhusu hii kampuni ya forever living product, kwann kampuni inataka watu wengi wajiunge? halafu kwanini inasemekana inatoa faida kubwa sana kwa wanachama?
ndugu zangu naomba msaidie kwan nili2ma hizo fomu pasipo kuweka sahihi na tarehe kwenye sehemu ambayo inasema ka umekubaliana na mashart ya mikopo weka sahihi yako hapo chn na tarehe. Nahofia kunymwa mkopo nifanyeje jaman.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.