Yani ni zaidi ya hovyo. Wakuu wa mikoa na MaDc wamekuwa wapiga kampeni. Hata jambo lililofanywa kwa nguvu za wananchi lakini jina la mhishimiwa lazima litatajwa kwa mbwembwe zote na shukrani atapewa yeye utazani kafanya yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia mwenendo wa siasa wa nchi yetu kwa sasa, ni dhahiri shairi viongozi wetu wanawaza kushinda uchaguzi tu hakuna lingine. Tangu wamechaguliwa akili na mawazo yao yapo kwenye namna gani watashinda tena uchaguzi.
Hii inadhihirishwa hata namna ya maendeleo wanayotuletea. Ni yale maendeleo...
Hapana, ni tawi ninalolitumia mara kwa mara ingawa mimi si mkazi wa hapa. ninaishi Mbele kidogo na hapa chalinze nina biashara zangu maeneo haya. kwa hiyo nimeanza kutumia hili tawi toka 2009 mkuu. si suala la umbea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.