Kwa maeneo uliyoyataja mkuu, kwa sasa sq.m 1 inaanzia 15,000 na kuendelea. Kwa maelezo zaid wachek hawa jamaaa Citylights land developers 0718 66 72 66
Km eneo la jamaa yako na jiran yake yamepimwa bas watumie alama za mipaka zilizowekwa na wapima na hapo watabain kila mmoja wao anapoishia.
Na km wapo ktk eneo halijapimwa mipaka yao ya asili wakat wananunua hayo maeneo ilikua inaishia wap.
Geomatician kwa maana ya land surveyor unaweza jiajiri kwa kufanya kaz kama surveyor binafsi na sio wa serikal km wale wa halmashaur, ukiwa na mtaj mkubwa wa kuweza miliki vifaa vya upimaji itakua vzur ila ukishindwa vifaa hua vinakodishwa. Unakod na kufanya kaz zako vzur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.