duu kumbe laki mbili tyuu mutu anapotezwa??? ila sio fair hukumuvitolewe kwa kosa lake hawa askari wa siku hizi vilaza sasa ukimsingizia kija uhalifu faida ipo wap?
Habari zenu wakuu,
Napenda kujitokeza mbele yenu kuomba ushauri kwa ili suala nalollpitia kwa sasa japokuwa inaweza kuonekana jambo la kawaida kwa wadau wengine hapa ndani.
Kwa ufupi nimetokea kupendana na binti mmoja msukuma mwenyeji wa wilaya ya Sengerema kiukweli ni binti mpole, mkarimu na...
Mwee mleta mada anachuki binafsi huyu jamaa namkubali sana ni mchangamfu na inaonekana sio mbinafsi maana kila anachofanya lazima tushare wote
Hongera kaka ktk siku yako ya kuzaliwa mungu akubaliki hata kama wanaponda kwa upande wangu nakupenda sana
Mambo vipi ma cheif,
Napenda kujitokeza mbele zenu hapa kuulizia jambo linalonitatza kwa sasa. Utamtambuaje mpenzi wako kama yupo pia katika mahusiano mengine?
NB: Samahani kama nitakua nimemkwaza mtu.
kwa upande wangu sioni kosa la daktari nisawa na kuingilia faragha yake na wahusika wanaodhani ngono itatatua matatizo yao....suala la kuhaidi kuwaoa nadhani hiii n trick inayotumika kupata kitu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.