Bila shaka nyote wazima wa afya.
Ningependa wale tuliopiga Pure Mathematics A level...tujikumbushe mambo haya.
.Ni topic zipi/ipi ilikuwa ngumu sana kwako na ipi uliionea sana na changamoto zipi zilikukumba Pindi unakabiliana na Pure Maths.
Binafsi probability I ,ilinitoa povu mpaka...
Katika sakata linaloendelea sasa kati ya Mwanadada Dayna ,kusema kwamba kaibiwa Mdundo na Diamond, Mwanamuziki mwingine wa Bongo fleva kwa jina Baba levo ameibuka na kusema yafuatayo kwenye akaunti yake ya facebook.
ZAMANI nilikuwa nikiskia mtu analalamika kaibiwa wimbo au kaibiwa njia...
2 Sep 2013 11:05:00
Liverpool have confirmed they have signed Chelsea forward Victor Moses on a season-long loan.
The 22-year-old passed a medical at Anfield on Monday and becomes the club's eighth signing of a busy
summer of transfer activity for Brendan Rodgers' men.
"First and foremost...
Napenda kuchukua fursa hii mimi kama mimi kuwapongeza wale wote walioweza kuchaguliwa kujiunga na Vyuo vikuu na Taasisi mbalimbali za elimu ya juu.
Na pia natoa pongezi, kwa wale wote waliojitolea kwa moyo wote, kukusanya baadhi ya habari zinazohusu Elimu kwa ujumla na kuziPOST hapa ili...
Nimepokea hii sms kutoka kwa kwa watu tofauti tofauti sasa sijui kama ina ukweli wowote ,manake hata kwenye website ya TCU sioni hili Tangazo.
TCU kwenye tovuti yao wameandika kwamba kabla ya tarehe tisa mwezi huu watatoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo isipokua kwa wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.