Tunajua Watanzania wengi watakufukuzwa kazi na Magufuli kutokana na ubabe wake. Ukiwa kiongozi unatakiwa uwe na busara kuliko jazba. Wengi watafukuzwa au kusimamishwa bila ya sababu au maelezo ya kwanini wanafukuzwa au kusimamishwa kazi bila ya kujitetea.
Mahakama za kazi (Labour Court) angalau...
Kiukweli Taifa limegawanyika sana hasa huku mitaani, watu hawataki kuamini kuwa Magufuli ni Rais na wanazidi kuichukia ccm. Ni kweli wengi wanaombea Magufulia ashindwe, Magufuli ana kazi kubwa sana ya kuliongoza hili Taifa
Nakubaliana na wewe Kikwete amefanya kazi nzuri sana kuhakikisha Wakina Chenge, Mama wa pesa za mboga pamoja na Mafisadi wenzake waishi maisha bora Tanzania. Hongera zake Kikwete the Vasco da gama wa Bagamoyo, apumzike kama alilivyopumzika Fisadi papa Mkapa lakini wakumbuke ipo siku HAKI itasimama.
Kuna watu wanaroho ngumu sana na uvumilivu wa kujipamatumaini. Bado kuna watu wanaamini CCM italeta mabadiliko ya uchumi wakati mikataba mingi ya kipuuzi nchini kwetu imesainiwa na hao hao CCM. Kama unaamini kuwa waziri wa fedha ndani ya serikali ya CCM ataifanya Tsh yetu kuwa na thamani na...
Wasimamizi wa Uchaguzi hawakuwa NEC? au ni CCM? NEC na CCM wamebaka democrasia yetu. Jaji Lubuva alikuwa anajuafika kwamba wanatumikia CCM kwa mwamvuli wa NEC
Tumebakia kudanganywa na AMANI, eti tutunze amani wakati Gesi anachukuwa mchina, Dhahabu wazungu, Wanyama Waarabu. Watanzania wakitakakujua Rasilimali zao Wapuuzi CCM wanatuambia tutunze AMANI. Amani my asssssssssss. F^%$$# AMANI. Hiyo AMANI ndio itanipa ajira au Elimu? Tumepumbazwa vibaya sana...
Kweli gesi imeponea chupuchupu kubaki Tanzania, kwa sasa China wamalizie kuihamishia na kuichukuwa yote na watuachie amani yetu. watanzania hatuhitaji rasilimali tunachokihitaji ni amani. Hata dhahabu na mafuta, Tembo, Twiga wawabebe sisi hatuhitajichochote amani inatutosha.
CCM watimiza rasmi kauli yao ya goli la mkono, hata kushangilia wanaona aibu wamebakia majumbani kwa. Wanamtangaza kwa kumwaga Polisi mitaani kuhofia nguvu ya umma. Asnateni NEC kwa kutuchagulia rais na kubaka democracy.
Wee Mzee Mwanakijiji unaijua Shari au unasema? Huo Ushauri wako kampe mgombea wako Magufuli na yule bosi wako January Makamba, tangu lini umekuwa mshauri wa Mbowe au ndio njaa inakusumbua huko Boston. Wee endelea kuosha vibibi na vibabu vizee huko ughaibuni mambo ya huku tuachie wenyewe wapiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.