Jana jumatatu tulifanya uchaguzi wa raisi wa chuo ambao ulifanyika Kwa amani Na kufikia tamati saa kumi kamili jioni Na muda wa saa nne usiku matokeo yalitoka yakionyesha bwana Edward Kunyara aliibuka mshindi Kwa kuwazidi Kura wagombea wenzake bwana Edward Kunyara Kwa sasa ndiyo raisi wa sokoine...
magufuli raisi wetu waangalie na watoto wetu sua maana tumechoka kuombwa pesa wakati walipewa mkopo lakini cha ajabu mpaka sasa wanadai hawajapata pesa yao ya kujikimu tangu wamefungua chuo ebu raisi wetu magufuli jaribu kuangalia na hilo maana imeshakuwa balaa kwa watoto wetu kwa swala la mkopo
wale wa sua first year tayari kimenuka loan board imeshawapa mkopo hongeleni vijana mkashindwe kupiga kitabu.Ila nawakumbusha sua siyo mchezo kuna muscle ya ajabu na course work za kutosha
matokeo ya kidato cha nne hatimaye yamekamilika ikionesha kiwango cha ufaulu kikiongezeka ukilinganisha na mwaka jana.haya yamebainika jana kutokana na zoezi la upangaji baada ya kukalika.sasa matokeo haya yatatoka ndani ya mwezi wa pili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.