"E="kuku mweus, post: 28068553, member: 490171"]Wataanza kutoa kejeli kama hawatakua wanashirikishwa
Afu kibaya wengi ni wajita majungu tupu
Hasa yule Mwalimu aliye ipandisha, japo amepewa nafasi katika bench la ufundi, lakini anaonekana hakubaliani na hilo, asipo dhibitiwa ataanza kuingilia...
Dully Sykes Alisha imba na plutnumz je nae kapotea? Mr. Blue nae alikwisha imba na Diamond je nae kapotea? Ali Kiba Alisha imba na Mond (Lekaditugite) vipi na yeye kapotea? pia Prof Jay Alisha piga Collabo na Baba Tiffah nakuuliza naye kapotea? Usisahau A.Y amekwisha dondosha collabo na mtoto wa...
Achana na hiyo michezo.... ni hatari kwa hayo madude, endapo mtu aliye poteza hiyo simu yake akaanza kuisaka... utaishia pabaya...
Na kama kweli ni yako, basi wasiliana nao hao jamaa online, wata kuomba baadhi ya taarifa zako ikiwemo pamoja na imei, emails, n.k ili kujiridhisha .... na hatimaye...
Mtoto wako akienda kulelewa na baba wa kambo, utajisikiaje???? Utajisikiaje akikwambia katoa hiyo mimba, roho yako itakuwa na amani kiasi gani??? Lakini vipi ukisikia huyo Mwanamke amefariki wakati akihangaika kuitoa hiyo mimba, utafurahi au utahuzunika??????
Ili kuwa katika sehemu salama, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.