Wandugu habari za leo
Samahan NMB Mobile Application inaniambia huduma hiyo kwa sasa haipatikani vipi wenzangu na nyie uko hivihivi au mim mtu.
Msaada tafadhali kwa anaejua
Wakuu nadhan hamjambo
Naomba Msaada wa kujua jins gan nitaona safari chanel kwenye simu Kama TV zingine maana nikiingia kwenye download application ya tbc siipati msaada wenu kwa wajuaji hili.
Kuuliza si ujinga
Asanten
Naomba msaada kufahimishwa nahitaji nione ligi ya drc natakiwa niwe na kisambuzi gani wandugu, najua watakuja waelewa Sana na kunitoa akili lkn mjinga hakosei
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna nyepesi nyepesi kwamba Billionea Aliko Dangote kuinunua club ya Dar young African, na hii inasemekana imetokana na ushawiwishi wa mwanachama na shabiki kindakindaki wa watoto wa jangwan yaan mzee wa msoga.Hii itakua habari njema sana kwa fans wa Dar es salaam Young African
Habari wakuu,, naamin bado tuko wazima wa afya ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu.namba niende kwenye mada moja kwa moja.Wakuu nina matatizo yafuatayo 1:hasira za haraka 2: kugomagoma ovyo 3:kukaa peke yangu muda mrefu na mwisho 4: najikuta naongea peke yang na kujijibu,, na 5: ni MTU wa...
Habari wakuu,, mim ni mdau mkubwa wa Dstv nina miaka sita natumia,miaka iliopita Dstv walikuwa wanaonyesha lig mbalimbali,sasa msimu nimelipa kifurushi cha 122,500. Hivi ni kwel Dstv haionyeshi lig zingine? Na je ntawezaje kuona lig kama Bundesliga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naamin mko salama,naomba msaada tatizo langu ni mguu wa kushoto yaan ni kama unawaka moto kwenye kisigino na kanyagio,Nina miez mitatu ila sasa nahisi kuongezeka maumivu.msaada tafazal
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Assalaam alekhum wadau,nna mdogo Wang katumia sana tumbaku kubwa,sasa kaacha,swali je dawa gan atumie ili atoe sumu ya kilevi hicho,msaada wenu tafazal.
Jamani wanajamvi hamjambo!
Mwenzenu yamenikuta,ninampenzi wangu wa muda mrefu na tulikubaliana tufunge ndoa mwezi wa kumi mara tu nimalizapo ujenzi wa nyumba ya kuishi,
Kila siku namkataza asiende disco lakini mwenzangu kuna wakati anatulia lakini sasa amefikia hatua ikifika jumatano...
Wanajamvi naomba mnisaidie nina mchumba nataka kumuoa lakini nagombana kila siku kwa kumkataza kwenda club lakini cha ajabu anajigombanisha ili aende disco na pia anakaa karibu na club,
Sasa sijui nifanye nin ili niweze kumwachisha kwenda club bado nampenda sana,nisaidieni na nahtaji ushauri...
Naomba kuuliza kwa wataalam wa saikolojia; hofu na moyo kwenda kwa kasi kabla ya kukutana kimwili ambayo hupelekea hata penis kutosimama imara yaan kawaida yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.