Hehe huna hela,haupo smart,huna akili,hunakipaji,sura kama remiongala,famila chka, Mbaya,marafiki zako wnasifa kamazako,huna gari hatala kuazima,dmo zege,huna kipaji haa cha chekeshaji na story na isioshe si mwongo sasa tawapataje.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Komba anakula bila mpangilio wa balance diet ndio mana mwili unakuwa waajabu!ila huyu anakula balnce diet huwezi nenepa kama komba
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ushari ni uweunatembea n mfuta ya ky gelly yatakusaidia siku ukifumaniwa mana kunauwezekano 0714 ukatmiwa na mwenye mke sasa ukiwa mkavu kabsa uaumia zaidi!ukifanya hayo basi endelea ma huyo mke wa mtu ila kama hutaki 0714 iwematatani basi mpotezeee mazima
Sent from my BlackBerry 9900 using...
Nisawa na zamani watu walikariri kununua nokia ila nw zipo aina kibaooo!so ww unachokipenda ukina wakimudu nunuaaa achana na hbari za kukariri toyota
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwkwkwkwk mke katupiwa mtwara ndani ndani huko hata network mawazo na mume katupiwa kagera ndaniiiiii huko inashika zain tena mara moja kw wiki eeeeh!lazima wanakijj wajipatie chakula hapo no way
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwa mnunuzi jst apeleke details za gari TRA na polisi kama wakisema gari halina shida basi anunue!maana mm nlishaskiaga magari kadhaa ya gharama wau wamenunua kwa bei y kutupa jst kisa mzungu anarudi kwao na mkataba wake TZ umeisha na hawezi kusepa na gari hilo
Sent from my BlackBerry 9900...
Wakanye tu kwa sasa!ila kama ww ni mchaga basi rudisha hela kwa njia hyohyo ya mpesa alafu mtafute manualy akupe cash mana haina ushahdi,usiache chapaaa mtu wangu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.