Ok, nimeingia kwenye BB world na kwenye hiyo link pia, bado inaleta the same error! Na bado nadhani ni original, sababu nililetewa na mtu ambaye aliinunua siku mbili baada ya kutolewa, tatizo ninalolipata bado nadhani ni network! Inakata sana na pia sometimes inaandika insert simcard! Nadhani...
Nadhani hiyo inaweza kuwa sababu, hizi simu zinakubali simcard za airtel tu, sasa mtandao wa airtel naona hauko stable sana kwa hii simu, unakatakata sana, asanteni sana naendelea kujaribu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.