Ni sawa lkn tambua mtaji wako ni mdogo Sana.. Biashara za kuvuka border ni ngumu. 6 m hiyo ni ushuru tu na tozo mbalimbali. Vinginevyo ongeza mtaji walau 20 m kisha jilipue. Thanks in advance
Nakushauri vumilia changamoto za kazi na endelea na kazi usiache. Huo mtaji ulionao chukua frem karibu anzisha biashara inayolipa kitaani kwako. Iko siku kazi na biashara yako vitakulipa pakubwa.
Tatizo tukipta wenza tunadharau wazazi wetu... Either sisi au Hao wenza wetu. Jitathmini wapo ulioikosea muombe radhi mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
The bold usishangae episode za kwenye group zote ukazikuta humu tena mtu kaanzisha na thread yake.. Hivyo ikawa group na thread yake viko episode inayolingana. Na hii yako ndio ikafia hapo kifo cha mende.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.