Kwa mujibu wa kitabu chake alichoandika kihusucho Sustainable Development in Tanzania, inaonyesha Askofu amesoma vyuo Vikuu vifuatavyo: UDSM, Makumira, Copenhagen, Tubingen na Chicago. Kitabu chake kimejikita kwenye uchumi na maendeleo.
Yaani hili lina maana kwamba:
DC, DED, DAS, Katibu wa CCM wa Wilaya, Katibu Mwenezi, Makatibu wa UVCCM, UWT, Wazazi, ongeza na OCD, DSO na wa PCCB, wote hawa wanapambana na mtu mmoja anaitwa Mbowe huko Hai na bado hawana uhakika kama watamshinda!? Kweli CDM ni hali ya hewa si mtu.
Rekodi huwekwa na kuvunjwa. Tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na Spika wa Bunge aliyevaa itikadi ( Partisanship) kama Spika Ndugai. Spika huyu anakipendelea chama chake kuliko hata Mwenyekiti wa chama chake au hata kuliko Katibu Mwenezi.
Nadharia ya uhuru wa bunge kama mhimili inatiwa doa la...
Nijualo ni kuwa huwezi kuwa mpinzani nchi hii ukiwa na yafuatayo:
Uraia tata, mali zisizo na chanzo halali, rekod wazi za ulipaji kodi, rekodi wazi ya makosa ya kijinai.
Wanaoruhusiwa kuwa na makandokando hayo ni wana CCM tu. Uliona mtu yuko upinzani ni dalili kuwa yeye ni msafi.
Ethiopia ina one of the best airline in the continent. Ina reli ya umeme. Lakini polisi wetu na uhamiaji kule Morogoro, Kilimanjaro, Songwe n.k wanakamata mamia ya wahamiaji haramu wanaoenda bondeni kutafuta maisha na uhuru.
Tusibeze alichosema Salary Slip na alichosema Jaji Sam. Uhuru hauna...
Jambo moja asilolijua rais wetu na wasaidizi hawamwambii.
Kuwafidia wananchi waliobomolewa ni uwekezaji mkubwa kwa nchi. Ni stimulus package ya uchumi. Wafidiwa watanunua saruji, nondo, chokaa, na vifaa vyote ili kujenga. Fedha hiyo itarudi serikalini kwa njia ya kodi mbalimbali zitakazoibuka...
Hili sakata la utekaji wa MO lina sura nyingi na ninatabiri litakuja kuleta harufu mbaya:
-Wasiojulikana kabisa wanapoteka, mtu hapatikani (Ben Saanane na Azory nk)
-Wasiojulikana lakini "wanajulikana", wanapoteka, mtu anarudi (Roma, MO)
-Tuhuma za kumhusisha mkulu moja kwa moja/Uso kwa uso na...
Kurudi warusi lakini sharti liwe moja tu: Waeleze mkakati mzima ulivyokuwa ili tujue ukweli wote. Tukiambiwa walinunuliwa, tuachane kabisa na jitihada za kupambana na rushwa. Tukiambiwa walitishwa, tuachane kabisa na ndoto za tume huru ya uchaguzi. Tukiambiwa walishawishiwa, watuambie...
Mimi naweza kusema;
Kinana alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu, alikuta CCM ni chama cha Viongozi. Akakiondoa huko na kukifanya chama cha wana CCM. Akaweka kanuni kuwa madhambi ya serikali si madhambi ya CCM, na madhambi ya viongozi wa CCM, si madhambi ya CCM. Hili alilifanya.
Bashiru Ali na...
Huyu naye basi tumuache. Bahati mbaya wote ni Nshomile. Ila Benson ajue kuwa, CCM hata wanaposhinda, wanajishangaa walivyoshinda. Wagmbea wao ukiwauliza wameshinda vipi, hata wao wanashangaa na kukuelekeza umuulize Polepole.
Sawa tumekusikia. Pamoja na ubaya wake, Nyerere alidiriki kuyasema haya. Waambie hawa wa sasa tuwaone wakisemea juu ya haki za binadamu. Itasaidia sana kuwasikia angalau wakitueleza juu ya msimamo kuhusu uhuru, maendeleo na haki za binadamu. Tunachokiona sasa:
-Hawataki hata kuchorwa kwenye...
Sasa kuna vita, je imesababishwa na nini? Na hata ingetokea, si kuna vyombo vya kuzima? Mbona maandamano ya Mange yalizimwa nchi nzima?
Mimi nadhani kinachomaanishwa, madini yakigundulika, kunakuwa na majadiliano kati ya serikali/Mwekezaji na mwenye mali, yaani mwananchi. Kuna ubaya gani?
This is the fundamental question. Jina la jengo la umma, barabara, mtaa, kituo, n.k kutolewa kwa mtu, tena binafsi asiye kiongozi wa kuchaguliwa, huwa ni mchakato. Kwenye serikali inaandaliwa mpaka cabinet paper. Siyo mtu kuamka na kurusha jina kana kwamba unabatiza paka wake. Kuna kitu kati ya...
Maneno ya Salary Slip msiyabeze. Kuna overreach za ajabu. Mbunge kutokwenda bungeni si suala la rais kumuuliza au hata chama chake kumuuliza in public. Yeye kama Mwenyekiti wake akaumuulizie huko kwenye chama. Utoro wa mbunge unashughulikiwa na Spika kwa kutumima kanuni za kibunge. Masuala ya...
Kuna kundi liliwahi kusema kauli ya "Maendeleo haya chama" inadhalilishwa na wakahoji, "Kama hayana chama mbona wana watu wanahama vyama ili kuleta maendeleo? Hawajahi kujibiwa.
Mimi nadhani wasaidizi wake Kipenzi wamsaidie ili aelewe kuwa logic anayotumia inamfanya aonekane ni kichekezo hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.