Bandiko linaeleweka. Dirisha la kuitikisa CCM baada ya kuondoka kwa Magufuli lilikuwa mwaka 2021 na kidogo 2022. Kwa kuruhusu wajipange upya na kurudi kwenye "comfortability" waliyofikia sasa, ni ngumu tena wale pro-Magufuli ndani ya CCM kuleta madhara ya kisiasa.
Hawa pro-Magu wataendelea...
Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015, CCM ilikuwa imevurugika kwa mgogoro wa ndani kwa ndani na kulikuwa na tishio la kugawanyika pande mbili na moja ya mambo yaliyowashangaza wengi ni uamuzi wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe kumpokea Edward Lowassa na kumfanya mgombea uraisi. Hapo hapo...
Suala la ajira halijawahi kuwa kipengele muhimu kinachozingatiwa katika ukuaji au kuanguka kwa uchumi wa nchi hii. Ndiyo maana hata ajira unazoziongelea ni zile za serikalini wakati wote tunajua watanzania wengi wako nje ya mfumo wa ajira za serikali lakini hawatoagi taarifa zozote kuangalia...
Hata hapa TZ hatushindwi kuwa na bando hizo kwa gharama hizo hizo. Ni uroho, tamaa, roho mbaya na kutaka kuwabana wananchi wasiwe na uhuru wa kupata habari kwa urahisi. Ni mahusiano yasiyo na maadili kati ya makampuni na watawala.
Hatuna mtetezi katika hili na kibaya zaidi wananchi hatuna umoja.
Watu wa Kagera kweli mnalo. Yaani Makamu wa Rais anatoka kote huko anakuja mkoa ulio nyuma sana kiuchumi kutembelea msitu, kuhudhuria misa na kuzindua jengo la kagorofa kamoja tena mpakani. Miradi ya kimkakati iko wapi kuinua uchumi wa mkoa?
Huu mkoa kweli umefelishwa na wasomi wake, wakipewa...
Tukumbuke kuwa katika uchaguzi wa 2020, Lissu alikwenda pia polisi kudai gari lake ingawa sikumbuki kama alifanikiwa hata kuliona. Pia juzijuzi tu amesema Serikali haijamlipa madai yake ya pesa za matibabu na kiiuna mgongo na badala yake serikali imemlipia deni lake la gari kutoka katika pesa...
Kwanza nikujulishe unaongea na mtu ambaye si mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Kilichokuzuzua ni nini, makochi ya nyumbani kwa Lissu au tiles maana sikuelewi unajua!
Nionyeshe kwenye video hapo aliposema gari lake "NI" V8 ya kisasa. Mwenyewe umekubali kuwa ni gari hilo lililopigwa risasi kwa hivyo hawezi kutumia maneno "gari lake NI" akizungumzia habari ya siku za nyuma kwa gari ambalo HANA. Unajua ukimquote kwa jinsi alivyosema, hoja yako inapotea ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.