NGwea alipatwa na stress baada ya album yake bora kabisa AKA MIMI kuuza shiling lak 6 manager akiwa Dj venture,ngwea alikua na bar sinza na gar lakn vyote vikapotea,kule south alienda beba unga
Umemaliza kila kitu,mim asubuh nikiamka nilikua nakuta mate meng kwenye mto,harufu mbaya,nikaja kugundua ni pombe,nikapumzika miez mitatu,hali ikapotea na harufu mbaya mdomon na nikienda choon kinyes hakitoi harufu mbaya,nakunywa maji mengi,matunda na mboga za majan,tatizo limeondoka kabisa,nuru...
Ni kwel huyo Joan kazaliwa kinondon shamba,biashara ya madawa ni ya kitambo tokea ana bar yake pale TX kinondon mitaa ile ilipokua bar ya G8 ya mama siriwa,pale wauza sembe na matapel lazima uwakute pale, na director mdogo wake alikua anamtuma brazil,pakistan kubeba sembe..mume wake anaitwa...
ITakua we ni wa kishua au umri wako mdogo,mwaka 1988 karibia kila nyumba walikua wanakula ngozi ya ngombe wenyewe waliita makwasu kwasu hayo ukila na ugal ni balaa tupu,sasa hiv kuna makwasu kwasu mpaka ya kitimoto.. na hii sio Tz tu mpka USA,china,russia wanakula ngoz sio umaskin ni desturi...
Nlikua na tatizo hilo nikaja kugundua nlikua na minyoo,pia usagaj wa chakula ukawa shida kwasababu nlikua natumia pombe,nikatumia dawa za minyoo,nikaanza kula vizur ikiwemo matunda na mboga za majani,kuswaki vizuri haswa ulimi mana weng tunasugua meno badala ya ulimi,ulim ndo unatoa harufu
Doto Mwana kino kitambo huyo alikua na pacha wake ambapo wote waliingia kwenye uteja,piga sana debe manyanya,mwizi sana yan oysterbay police na central palikua kwake,doto aliacha unga na wizi,anaishi mtaa wa brazil kino kwenye nyumba yao ya urithi,wapangaj wake ni wanawake hapangish wanaume,weng...
Mimi pia ni mhanga,mama mzazi alikua anasema anaumwa sana na kuna muda unakuta damu choon,unajiuliza nin kinaendelea,baada ya kwenda hospital akaanza kwenda kwa mwamposa,akahama akaenda kwa rwakatare kifup alimaliza wote,mwisho wa siku akazidiwa sana,kwenda muhimbili akaambiwa ana cancer stage...
Kajala wengi hawamjui ila umalaya alianza tokea akiwa primary,kwa wale waliosoma jitegemee sec miaka ile ya 90s wataniunga mkono,huyu alikua ni mama huruma alikua ni mtu wakupigwa mitungo,hapo acha pale kwao line police obey,aligongwa mpaka na askari rafik wa babaye,umalayq uko kwenye damu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.