Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,256
- 19,930
ni filamu gani hiyo
Uko sawa kabisa.Kukimbizana mbio za kupokezana kijiti
Kajala wengi hawamjui ila umalaya alianza tokea akiwa primary,kwa wale waliosoma jitegemee sec miaka ile ya 90s wataniunga mkono,huyu alikua ni mama huruma alikua ni mtu wakupigwa mitungo,hapo acha pale kwao line police obey,aligongwa mpaka na askari rafik wa babaye,umalayq uko kwenye damuMtoto kaipokea Mirathi kutoka kwa mama yake na anaisimamia vema kabisa bila shida yeyote.
Maisha ni kupanga,ukiamua kumsomesha mtoto ili ndiyo uwe urithi wake wewe msomeshe, ikiwa una chembe chembe za Udangaji na Usimbe basi mwanao mrisishe hivyo ili vimsaidie maishani.
Kuna kipindi cha maisha yao ambayo wanasema ni halisi huko Azam ingawa wanadhani wanafurahisha ila wanajidharirisha sana.
View attachment 2635368
Ni hayo tu kwa Leo.
Ndimi Mzee wa Sina mengi.
TUKANA UONE
"Kama tadinu tudani" Huyo Majani alichezea mno watoto wa watu, Acha aone dunia duara.TUNAJIFUNZA WANAUME...TUWE TUNAANGALIA WAPI TUNAPOWEKA MBEGU ZETU...
SIO KILA MWANAMKE ANA HAKI YA KUWA MAMA WA WANAO...HAJANYAMAZA KWA KUPOTEZEA...ILA INAMUUMA SANA...
NA HAPO HUWEZI ONA SERIKALI WALA USTAWI WA JAMII WALA MAMLAKA YOYOTE YA HAKI ZA WANAWAKE...
ILA BABA YAKE ANGEWEKA UTARATIBU WA KUMLEA MWANAE VEMA KWA KUMCHUKUA KUTOKA KWA MAMA YAKE, AKAMLEA VEMA KWA MAADILI MPAKA AKAMUOZESHA...MNGEONA HAO WANAHARAKATI WANAVYOPAYUKA...ILA SASA WAKO KIMYA KWELI. KWAMBA MAMA ANANYIMWA HAKI YA KUMLEA MWANAE...ILA SASA HIVI KIMYA.
Umenena vyema. Wapi mwanaharakati Ananilea Nkya.TUNAJIFUNZA WANAUME...TUWE TUNAANGALIA WAPI TUNAPOWEKA MBEGU ZETU...
SIO KILA MWANAMKE ANA HAKI YA KUWA MAMA WA WANAO...HAJANYAMAZA KWA KUPOTEZEA...ILA INAMUUMA SANA...
NA HAPO HUWEZI ONA SERIKALI WALA USTAWI WA JAMII WALA MAMLAKA YOYOTE YA HAKI ZA WANAWAKE...
ILA BABA YAKE ANGEWEKA UTARATIBU WA KUMLEA MWANAE VEMA KWA KUMCHUKUA KUTOKA KWA MAMA YAKE, AKAMLEA VEMA KWA MAADILI MPAKA AKAMUOZESHA...MNGEONA HAO WANAHARAKATI WANAVYOPAYUKA...ILA SASA WAKO KIMYA KWELI. KWAMBA MAMA ANANYIMWA HAKI YA KUMLEA MWANAE...ILA SASA HIVI KIMYA.
Hata wadange vipi hawawezi kumfikia cute wife
Msimbe maana yake nini!?Exactly hakuna anayekataa MAKU YA REBU,nikipewa nachakata kisha najikataa kwasababu ni wasimbe
Plus afya yakeHuyu mama anasikitisha kwakweli
Nina wasiwasi na Afya ya Akili ya huyu mama
Yule mama ndio anapenda binti yake awe hivyoMtu anamwambia mama yake mtu mzima kisheti
Sasa kajala tokea darasa la 6 anaruka na midume unategemea niniHuyu mama anasikitisha kwakweli
Nina wasiwasi na Afya ya Akili ya huyu mama
Kajala namjuwa tokea yuko kumbukumbu primary..Kajala wengi hawamjui ila umalaya alianza tokea akiwa primary,kwa wale waliosoma jitegemee sec miaka ile ya 90s wataniunga mkono,huyu alikua ni mama huruma alikua ni mtu wakupigwa mitungo,hapo acha pale kwao line police obey,aligongwa mpaka na askari rafik wa babaye,umalayq uko kwenye damu
Utakuta watu wanakaa na kufatilia umly wao tu hukoKipindi ni kujipigia chapuo ujinga tu yani ni aibu zamaradi kachemka pakubwa
Niliona vi clip vifupi, ni aibu mno hicho kipindi ni kutangaza biashara yao mama na mtotoUtakuta watu wanakaa na kufatilia umly wao tu huko
Ova