Je, Muda wa kutumia mimea ambayo vinasaba vyake vimebireshwa nchini Tanzania umefika?
Karibu tujadiri hii kitu kitaalam maana nimeona kuna mijadala inaibuka juu ya matumizi ya GMO hapa kwetu.
Ufugaji ni Utajiri
Ufugaji siyo kuku na nguruwe.
Tuamke
kilimo ni mali
Tutunze pesa zetu kwa muda mrefu ili tupate pesa ya kununua Ardhi, vifaa vya shamba kama Trector. miundobinu. nyumba. maji na njia za maji. uwezo wa kununua pembejeo. Nje ya hapo wengi watakata tamaa. sie wasomi tumetiwa...
Kwa kifupi sana naandika, amka mkulima, mshikane nchi nzima, mkatae kuuza mazao kwa madalali, mpange bei zenu wenyewe, tuwe na centre za kuuzia mazao yetu kikanda. tulime kwa kalenda, wanunuzi wafike kwenye masoko yetu wakute bei zetu. asiyetaka kwa bei yetu tumwambie watoto wetu na mifugo wetu...
Miaka ya hivi karibuni watu wengi wanaona kilimo ni sehemu salama ya kutupa chini pesa zao ili zitoe faida kubwa. Je huu ni mwanzo wa mapinduzi makubwa ya kilimo cha Tanzania. Ukweli ni kwamba kilimo siyo shamba la bibi na ndo maana wanaokimbilia kulima tu wanaishia kulalama na kulia kwa kuzika...
Kuna watu wamekuwa wakipotosha ukweli kwamba ngono inachosha mwili na pia inafupisha siku za kuwepo duniani. Watu ambao ni mabikira wana furaha zaidi hapa duniani kuliko mtu yeyote yule na huishi siku nyingi zaidi duniani.
Tusiwadanganye vijana eti ngono inaongeza siku za kuishi na inakufanya...
Wadau habari njema kwa walio tupia cv zao kwa tangazo la kazi la tarehe 17/04/2014 la pannar seed wameanza kuita watu kwenye usaili wa tarehe 9/5/2014.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.