Wadau samahani kama nitamkwaza mtu lakini binafsi sijapendezwa na zawadi zinazotolewa na shindano la dance 100 linaloendeshwa na channel 5 east Africa television.
Hebu fikiria washiriki wanatakiwa kuwa kundi la watu kuanzia 5-8. Mshindi anapata zawadi ya sh za kitanzania milioni tano...
Nimekuwa safarini siku mbili hizi na nimeshuhudia rushwa nje nje imekuwa kama tuko Nigeria vile. Yaani traffic police wanasimamisha magari halafu hawaji kwenye gari konda anazunguka nyuma ya gari anampa hela. Na hiki kipindi naskia wanatafuta hela ya sikukuu ni wamejaa humo barabarani usiseme...
Habari zenu, nadhani kuna baadhi yetu wanafatilia ile tamthiliya ya Be Careful with My Heart inayoonyeshwa katika luninga ya Star TV. Sasa mimi pia ni mdau huwa nakaa naangalia na familia akiwemo msichana anaenisaidia kazi za nyumbani.
Sielewi yeye alikua anaichukuliaje ila nadhani...
Habari daktari. Mi nina mtoto mdogo wa miezi kadhaa. Sasa kutokana na mazingira kutoruhusu kuna siku tukiwa safari tulilala bila neti na mwanangu akapata upela maeneo yote alioumwa na mbu. Baada ya siku kadhaa ule upele ulikauka maisha yakaendelea. Hofu yangu ni kua mwanangu kaambukizwa malaria...
Mimi ni mwanamke mwenye familia. Ndoa yetu ni changa bado. Hivi karibuni nilipata simu kutoka kwa mfanyakazi mwenzangu alieniomba nimsaidie kukaa na mdogo wake kwa siku tatu ili atafute chumba baada ya hapo angeondoka. Cha ajabu yule mtoto alikaa kwa wiki tatu akidai chumba hajapata ingawa...
Mama khadija nakuhurumia kwa jinsi mlivokua mmeshibana na mumeo, na jinsi ulivokua ukimrusha hewani kila wimbo. Mume anauma, sisi wenye waume tunajua. Uchungu wa mume hakuna mfanowe, pole mama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.