Eti saa 8MCH, Uwe unajaribu kuficha ujinga kidogo, kwenye hilo andiko kuna mahala pametajwa adhana au msikiti, au unafikiri walioandaa hili andiko wana akili kama zako.
Nakubaliana na wewe lakini kumbuka:
1. Mkusanyiko wa Hijja unakuwa na mamilioni ya watu, hivyo kunakuwa na msongamano mkubwa, so ajari kama huweza hutokea.
2. Usiogope sana kufa, kwani kufa ni lazima, ila jiombee ufe kwenye sehemu za kheri ukifanya matendo mema na sio sehemu za shwari ukifanya...
Wakati mwingine uwe unaficha ujinga kidogo, Hiyo ni ajari tu imetokea kipindi cha ibada, wewe unafikiri hao wamejinyonga kama mnavyojinyonga kwenye lile kabila lenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.