Mungu alikuwa kasinzia au vipi mpaka akaachia msikiti wake ukung'utwe na crane? On 9/11 no less?
Au alikuwa anawahukumu Waislamu kwa kutokemea vilivyo terrorism?
tafuta bahasha ,mungu halali wala asinzii mshenzi wewe
Mungu alikuwa kasinzia au vipi mpaka akaachia msikiti wake ukung'utwe na crane? On 9/11 no less?
Au alikuwa anawahukumu Waislamu kwa kutokemea vilivyo terrorism?
Kiranga MUNGU yupo na shetani pia yupo.MUNGU huleta mazuri na shetani huleta mabaya. BTW RIP Wafiwa.Sasa kaachia vipi msikiti wake uangukiwe na crane?
Hujajibu swali.
Kama yule mungu wako aliyeshindwa kuzuia wavuta bangi wasimuadhibu pale Islael sio?
Hujajibu swali.
Imekuwaje mungu aruhusu msikiti wake mtukufu uangukiwe na crane na kuua watu wote hao?
MUNGU hajaruhusu maana huwa haruhusu mabaya yatupate wanadamu.
Kwa hiyo kuna mambo yanatokea bila kuruhusiwa na mungu?
Mungu hana control na yanayotokea duniani? Kuna mambo hajayaruhusu lakini yanatokea?
1.Maswali yako yote yamebebwa na la kipengele cha pili Nitakwambia MUNGU ana control na mambo yanayotokea duniani....ila kwa mfumo aliouweka amempa mwanadamu uhuru wa kuishi na uhuru wa kuchagua.Dunia ina wanadamu na wamepewa waitawale.Ila na shetani pia yupo na kazi yake ni kupinga mazuri yote ya MUNGU.Kwa kifupi MUNGU anacontrol dunia kidemokrasia.