Naombeni kufahamu juu ya ili kuna simu inauwezo wa 2g je kuna uwezokano wa kuibadirisha iwe kwenye 3g na kama kunauwezakano naomba msaada jinsi ya kufanya hvyo.
Kwa kufanya hvyo jua kuwa unapungua huai na ufanyaji kazi unaostahili kweny kifaa chako ni vyem kufuata maelekezo ili kifaa chako kidumu kwa mda mrefu na kifanye kazi ipasavyo
Ni sawa ila hyo unakubal kama administrator account haikuwa na password ila kama ilikuwa nayo itakataa unaweza tumia software ya kutoa password ambyo inakuwa kwnye CD cha muhimu unaset boot order ya kwanz iwe CD me software unaweza kugoogle "password remover software " then download na kuburn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.