1)safari yako haitaishia tunduma utaishia njiani(chapwa)
2)misikiti imezingirwa na polisi kuhofia kuchomwa
3)hakuna biashara yyt inayoendelea
4)mpaka wa tz na zambia umefungwa kwa muda
5)rps na vikosi vyake wapo huko
Naskia m
Kuu wa mkoa jana alikwenda kutuliza but wakamkatalia wakasema wanataka kauli ya rais khs masuala haya.leo asb fujo zimeibuka matairi yachomwa moto barabaran,polisi wapiga mabomu,vibaka wapora madukani.....
Iman imaja tu na ndio maana adam hawa na wengine ni hao hao tu.yesu,issa,jesus,bebeto,jeswie ni mtu huyohuyo so mapokeo yametufanya tukafikia hapa but din ni moja tu.m,/mungu katupa mtihan na hatutafaulu mpaka siku ya mwisho
1)utajua kuwa man anacheza
2)utajua kuwa man u ni wenyeji
3)utajua kuwa man u watavaa jezi nyekundu
4)utajua kuwa nyimbo gani zitaimbwa sn
5)utakadiria idadi ya watu watakaoingia uwanjan
6)utajua kuwa furguson atavaa suti gan
7)utajua kuwa furguson atakula bigjee gan
8)utajua magoli...
Ni chelsea vs man u.sio man u vs chelsea.
Unajua ukisema kitu kimija unawapa watu faida zaidi ya moja mfano ukisema man u vs chelsea ntajua mambo yafuatayo
1)leo ni siku ya match hiyo
2)ntajua kuwa man u ndo wenyej
3)ntajua kuwa itachezewa old trafod
4)ntajua kuwa m
an u watavaa jezi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.