Hivi ni kweli kwa taasisi kubwa kama board ya mikopo imekosa wataalamu wa IT wakaweka mfumo rafiki kwa waombaji wa mkopo?
Mfumo una mapungufu mengi sana na sasa ni wiki ya pili unasumbua:
1. Kuna changamoto sex selection mfano una mdhamini wa kike ukachagua Female baadae ukija kupreview...
Jana nimefunga mita ya maji yaani maunganisho mapya kwa mara ya kwanza. Cha ajabu na cha kushangaza mita inaonesha nimetumia unit mbili.
Sasa nikamuuliza fundi kuwa hizo unit 2 zimetokea wapi wakati mita ni mpya..Akanijibu kuwa hizo unit 2 ni yale maji yaliyokuwa yanamwagika wakati wanatest...
Kumekuwa na kawaida sana ya baadhi ya watendaji na wenyeviti wa vijiji kuwaibia wananchi fedha kwa kisingizio cha kuchangisha michango ya maendeleo.
Imemtokea jamaa mmoja huko Mbeya vijijini Kata ya Igawilo, kijiji cha Ifiga. Kuna bwana mmoja anayejulikana kwa moja la Komba. Huyu bwana kwa...
Mimi nimeshatuma kama mara tatu na kila nikituma naambiwa nisubiri ndani ya masaa 120, ambayo ni sawa na siku tano, lkn baada ya hapo wanakuletea ujmbe huu
Be informed that your verification took more time than expected due to the following:-
1...
Tutakuwa watu wa kulaumu mpaka lini,ni bora tuilaumu serikali na huu mpango wake wa jkt usioeleweka lkn sio idara nyeti kama hiz,haraka haraka haina baraka
Jaman wadau kuna info za kuchanganya sn ivi kuhusu form za mkopo kwamba mwisho ni tar 30 may je kwa sisi ambao tunasubiri matokeo.Mwenye taarifa kuhusu hilo jamani
Pole sn kaka,lakin ndo uwanaume.La msingi ni wewe kuwa muwazi kwa mkeo kwamba umemkosea na kumwomba msamaha,kama ni mwelewa atakuelewa tu,then umwambie hayo yanayokupata.Ndipo sasa tafuta suluhisho kwa huyo binti bila kuhusisha hasira wala vitisho,ikiwezekana mpe wrong promise ambayo itamfanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.