Napata tabu sana ninapoongea na wakenya, haswa wale ninaojua wana elimu hadi ya Chuo kikuu au kidato cha nne. Lakini hawajui lugha kabisaaa,
Unasikia SASA? Anamaanisha salaam, au Au unamwambia salimia wote nyumbani anasema WATASALIMIKA...Je hiki ni kiswahili sahihi?
Nashangazwa na Siasa ya Kenya hasa pale walioko juu kuongoza Kenya hii kugombea Madaraka, Mzee Moi ushauri wako uko wapi? RailA MwaI si wanao hawa Baba?
Mzee Kenyata saidia Kenya itararuka hivi Punde. Jamii Ya Africa Mashariki tusaidieje hili swala?
Naomba mchango wenu wapenda amani ka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.