Pole ndugu. Tafuta kampuni wanayozalisha chakula cha nguruwe; kinachoitwa “Pig Lactating mash”. Hiki kinamfanya mama nguruwe anakua na maziwa mengi. Pia vitoto vya nguruwe vikifikisha siku 15; anza kuvipq chakula wanachoita “Creep Feed” kinasaboost wanakua haraka sana.
Kwa emergency ya hii...
Nashauri
Baada ya hii kesi Maxence Melo pamoja na team yako hizi thread mziunganishe vizuri; muandae kitabu kwa ajili ya future generation.
Hii tu sio shule tosha kwa wanafunzi wa sheria; bali pia kwa watu wanaifatilia kesi mahakamani; pamoja na wanaharakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.