so una uhakika kuwa Ponda kapigwa kwa sababu ya Urundi wake??na je ulipata kusikia alichokisema pale Morogoro?lakini Ponda huyu si anaishi DAR na Polisi inafahamu hadi kwake sasa ya nini kutumia nguvu nyingi kiasi hicho kumkamata Ponda.Napenda jeshi la Polisi lifanye kazi yake lakini isiwe kwa...
ukiona kwa mwenzio kunaungua ujue kwako kunateketea,mtoa mada huu ni utashi wako hatuukatai lakini kwa namna nyingine ungetupa maelezo ya yule mchungaji mgombea urais wa Chadema na harakati zake kanisani
Hii style ya maandamano na kusababisha sintofaham kwa raia wengine haina mantiki kabisa,hebu wapinzani tuje na mbinu mpya ya ku tackle problem za wapiga kura wetu,nakumbuka mbinu hii tullitumia miaka ile ya 1995 tukiwa na NCCR-Mageuzi kisha ikahamia TLP na baadae ikatumiwa na CUF lakini...
Naam hivi ndivyo Watanzania tunavyoipoteza amani,tunakubali kulishwa maelezo laini laini tu,hatuumizi vichwa vyetu kutanzua msingi wa matukio haya..na ni hivi hivi habari hizi zitapotea kama moshi angani
Akili ya mbayuwayu changanya na yako....time will tell kila kitu kitakuwa wazi suala la kuomba ni uzima kwa waliojeruhiwa na amani ya milele kwa waliotangulia mbele ya haki
Watanzania wenzangu tuichunge amani ya nchi yetu kama mboni ya jicho letu,tusishawishike wala kurubuniwa na walafi wa madaraka na uchu wa rasilimali tuliyo nayo.
Wahenga walituusia kuwa kama hujui kufa chungulia kaburi,tuna mifano mingi ya athari na madhira makubwa waliyopata jirani zetu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.