Naomba mtu yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu hivi vyuo viwili vinavyotoa elimu ya kiwango cha shahada kwa njia ya mtandao:
1: Califonia Pacific University na
2. Frederick Taylor University.
Je, vyeti vyao vinakubalika kwa kutaka kuendelea na elimu ya juu hapa Tanzania?
Renatus wa fom 3L Azania ( group B) mwaka 93 alichukua mikate ya darasa zima kwa kujifanya yeye monita, bado namaindi sana ile siku na siku nikikutana naye ama zake ama zangu!!
Huyu Masha naona naye ameshaanza kulewa madaraka. Na kujiona ni miongoni mwa wale wasiogusika. Kimsingi, nashindwa kuelewa ameingia vipi katika siasa na kufikia wadhifa wa juu na kuwa mkuu wa Wizara nyeti kama hiyo ya Mambo ya ndani.Pumbafu sana huyu kijana!! Soma pumba yake nyingine hapa...
The journey to the federation needs to be deliberately carried out, and without careless haste. The interests of all member states must be clearly protected. It just happens that for us Tanzanians, our security precedes the need for a Federation. The fact is that we a surrounded with overly...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.