Hamna tatizo hapo wanachofanya ni kitu kizur kwa manufaa ya mfuko(Nhif) , nimeona hivyo pale Beni Mkapa Hospital nawapongeza Sana
Kuna mwanya wa wizi wameuona so wamekuja na hiyo mbinu kupunguza gharama/bill hewa kutoka kwenye hizo hospitali
Daaaah we jamaa huendi mbinguni kabisa yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijuw umewaza nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.