What a sudden change in attitude... Kuna kitu nyuma ya hili lakini kwa nini Zitto na Slaa? Kwanza wana(li)kuwa na support kubwa ya Watanzania hivyo walifikiri kupata support ya wawili hawa moja kwa moja ingekuwa ni tiketi kutoka kwa WaTZ pia. Pili hawa ni wajenga hoja wazuri na murua wa karne...
The question still remains "How do these guys make money?" Wanawezaje kuzalisha pesa yote hiyo katika kipindi hicho kifupi? Hili ndilo swali linanifanya hata mimi kuwa "skeptical" na mpango huu wa kutafuta utajiri wa haraka bila kuutolea jasho. Pia nilishawahi kuona karatasi yao ya...
Kaazi kweli kweli, usikute kwa utajiri wake mpaka anajiua ulikuwa juu ya hata matajiri wote wakubwa hapa bongo..Japokuwa kwake ulikuwa umeshuka! KweliUtajiri au umasikini ni comparative term jamani!
Thumbs Up to the ideas wazalendo, Value for money inahusika sana.. hizi inflated flats hata kwetu are in essence jokes for money! It's one of the many reasons why hatupigi hatua kimaendeleo, tamaa!!
THnx alot for ur contribution Shapu, but i have one more quick question for u..who the internal auditor reports to is one aspect of their independence, does that complete the list ndani ya independence?! Yani kama nitagundua kuwa the auditor anariport kwa bodi ya kampuni basi huyo ni independent...
I believe we do have many auditors in jambo forum but especially in the business and economic forum.I am currently about to conduct a research on the effectiveness of internal audit service as a case study in a certain organization in Dar Es Salaam. The problem is I receive as many views as the...
Lol.. nilijua tu ntavunjika mbavu baada ya hizo reply japo hata mwenyewe cjui niljifalague vipi kuiweka iyo sentensi sawa kwa lugha ya kighaibuni jamani! Ebwana Burn my bad mkuu kama uko china ila huku Bongo kuna wimbi kubwa la vitu feki kutokea uchina..hivyo imekuwa ni kawaida kufananisha kila...
GOOD CHOICE i guess kaka, lakini nadhani ingekuwa murua kama ungetupatia na gharama za hizo pingavirusi ingekuwa murua zaidi..Ka sababu kwa wengine wetu gharama ya antivirus ina umuhimu sawa kabisa na uwezo wake wa kupigana na virusi..Thanx for delivering wat was lacking!
Jamani wahasibu wa Tanzania, chukueni muda kujua ni standards gani zinatumika kwa mazingira ya kihasibu TANZANIA. Kutokana na wimbi la utandawazi kuwa kubwa kiasi cha kuwafunua macho wahasibu wa kitanzania katika standards na practices za kihasibu ambazo ama hazihusiki au zimepitwa na wakati kwa...
Ebwana Kichuguu, mimi ningekuwa kwenye lile jukwaa la majaji kwa picha hizo..basi machaguo yangu ya wasichana wenye mvuto zaidi ingekuwa ni Regina Julius, Fay Anthony na Rona Swai. Pamoja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.