Search results

  1. M

    Moto mkubwa unawaka maeneo ya Mwenge kwenye Stendi ya Mabasi

    Na bado gas inakuja, huo moto wake ni balaa!
  2. M

    Ajira za walimu sekondari 2013

    Siku yoyote ile watatoa!
  3. M

    Ajira za walimu sekondari 2013

    mh! Ngoja tuwackilizie, yani tunashindwa kuandika mkataba mpya private!
  4. M

    Ajira za walimu sekondari 2013

    bunge litaisha lin? Kwan bunge na post kuna uhusiano gani hapo.
  5. M

    Waalimu wapya tunapostiwa lini?

    Ajira ni leo coz january inaisha leo, au niliwaelewa viongozi vbaya?
  6. M

    Ajira za walimu sekondari 2013

    Huna ujanja msomi, ajira yako ipo mikononi kwa mwanasiasa,tulia hapo hapo!
  7. M

    Posti za mifugo na uvuvi

    Tangu lini?
  8. M

    Waalimu wapya tunapostiwa lini?

    MH! tutakwama cku moja, unatoa ahadi kwa kujiamiiini kumbe huna kitu mfukoni!!
  9. M

    Ajira mpya za ualimu 2013

    Vuta subira tafadhali, kuwa na imani na serikali yako iliyopo madarakani!!
  10. M

    Ajira mpya za walimu 2013?

    february ndio kuanza kaz au ndo kupata post ili tuanze march? Wanazingua hawa wanasiasa sana.
  11. M

    Ajira mpya za ualimu 2013

    Hahahahahaha!! Chezea wanasiasa wewe,
  12. M

    Waalimu wapya tunapostiwa lini?

    Jaman naskia ajira hakuna tena hadi mwez wa tano, ni kweli?
  13. M

    Waalimu wapya tunapostiwa lini?

    Kweli sasa sitochezea kazi, popote kambi, mbona tandahimba ntapaona kama dar tu!
  14. M

    Natafuta kazi ya ualimu

    Mimi ni kijana nimehitimu ktk chuo kikuu hapa tz, nina shahada ya elimu ktk masomo ya arts esp historia na kiswahili. Natafuta kazi ktk private sector popote nchini kwani nimeona serikali yetu ni wababaishaji na elimu tayar nimeshaipata, sasa cha msingi hapa ni kujali muda.
  15. M

    Waalimu wapya tunapostiwa lini?

    Tar 25, zispotoka hapo tafuta kaz nyingine!
  16. M

    Waalimu wapya tunapostiwa lini?

    Mwingine kaniambia kesho tar 19, sijui tushike lipi, ni kusubir tu.
Back
Top Bottom