Mnkeni jay
Member
- Jan 18, 2013
- 19
- 2
Mimi ni kijana nimehitimu ktk chuo kikuu hapa tz, nina shahada ya elimu ktk masomo ya arts esp historia na kiswahili. Natafuta kazi ktk private sector popote nchini kwani nimeona serikali yetu ni wababaishaji na elimu tayar nimeshaipata, sasa cha msingi hapa ni kujali muda.