Naitwa Yasini Yahya Rajabu
Nimepoteza cheti changu cha kuzaliwa,
Kwa yeyote alie kiona wasiliana nami kupitia email:yasinyahya6@gmail.com au
Kwa namba ya simu :+255718919637
Kimeandikwa nimezaliwa:16/04/1994
Natumai mpo poa, naomba mnisaidie kidogo niliomba kujiung na TIA kwa ngazi ya cheti.
nimechaguliwa lakini sijafahamu vitu gani natakiwa kuchukua baada ya kuliona jina langu ili kukamilisha usaili?
habari ?
naomba unijuze kama wewe ni muhusika wa IFM au TIA.
nimepeleka form ya maombi ya kujiunga kwa ngazi ya certificate katika vyuo hivyo.
Kwa hiyo ningependa kufahamu kama majibu yamesha toka au kama bado kwa mwenye kujua lini yanaweza kutoka pia anifahamishe.
asanteni !
Habar?
Mwaka jana nilipeleka maombi TIA nilikuw nataka kusoma Account katika ngaz ya cheti ila sikufanikiwa kupata nafasi.
Alafu mbaya zaidi niliapply TIA tu kwa sababu muda ulikuwa umeisha wa kujaribu kuapply vyuo vingine.
Katika cheti changu nina
Commerce-D
B/Keeping-D
Biology -D...
Nimefanya mtihan mwaka jana form 4
na niliambulia
B/KEEPING- D
COMMERCE- D
BIOLOGY - D
B.MATHS - C
nime0mba Chuo nilitaka kusoma Account nimekosa sijafahamu hadi n0w nifanye nini?
Mawaz0 yenu muhimu kwangu
nimeingia lakin naona inazngua.
Nimeangalia upande ule wa
Basic Technician Certificate in Accountancy hamna chochote kilicho andikwa ila nimecheki upand mwngine wa
Basib Technician Certificate in Accoutancy Evening inakubali.
Hbr zenu wakubwa?
Nimemaliza form 4 mwk jana nimepata
4-30
yaani nimepata
B/Keepng =D
Commerce =D
Biology =D
Math =C
Nilienda kutafuta kituo kw ajili ya kurudia mthani,nikapata nikalipia kila kitu but kuna watu wengine walinishauri nitafute chuo.
Coz kurudia wanadai...
Kwa mfano kwa kutumia matokeo ya mwaka jana(2012) jinsi yalivyo kuwa yametoka.
Matokeo ya mwanzo kwa mfano mtu akawa amepata IV 33 akaamua bora arudie mtihani,matokeo ya pili yalivyo toka akawa amepata IV 30.
Je?huyu mtu anaweza kuapply chuo wakati amesha jisajiri kufanya mtihani
Hatuendi hivyo mkubwa mi nimeuliza kwa anae fahamu lini zinatoka kwani kuna ubaya gani ?
Mim nikiwa kama binadamu sijakamilika nimesahau kuandika kam ni za 0-level au A-lvl ila nazungumzia za f0rm 4 za mat0keo mapya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.