MICHUZI BLOG: TAARIFA KWA UMMA KUHUSIANA NA UPOTOSHAJI WA TAARIFA ZINAZOSAMBAZWA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII JUU YA MSHINDI WA SHINDANO LA MISS TANZANIA 2016
OFA BEI YA SIMULIZI NDEFU ZA SAUTI.
Kutoka shs 3500 kwa simulizi sasa utapata kwa shs 3000.
Na kama unahitaji Riwaya mbili utalipia shs 5000. Unatumiwa mwanzo mwisho
ORODHA YA RIWAYA NI HII.
1. FEDHEHA
2. NINGE
3. USINILILIE MIMI KAWASIMULIE WANAO
4. MITIHANI
5. PUMBAZO
6. LIWALO NA LIWE
7...
Bahati nzuri niliyonayo ni kwamba nimeshiriki chaguzi zote zilizopita, yaani nimepiga kura tangu uchaguzi wa kwanza mwaka 1995. Tatizo liko kwa wanaoanza kupiga kura mwaka huu.
Kwa hawa wanaonza kupiga kura mwaka huu naomba niwasaidie kitu, uamuzi wa kuelewa ama kutoelewa ni juu yao...
https://www.youtube.com/watch?v=T3AjXB1iJUc
VIVA ROMA VIVA, PEPERUSHA BENDERA.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, mashairi ya wimbo yametulia na yanafikisha ujumbe moja kwa moja.
Wadau nautafuta wimbo unaoitwa The world's going bad. Umepigwa kwa mtindo wa reggae. Nilikuwa nikiusika, na ulivuma sana kunako miaka ya 1990. Zamani nilikuwa nikifiria ni wimbo mwanamuziki Sophia George, lakini nimeutafuta katika playlist ya Sophia George, haupo. Au labda nakosea jina...
Napenda kuwajuza kuwa kampuni ya Makazi Solutions Ltd imebadili utaratibu wa uuzwaji wa viwanja vyake vya Tengelea Mkuranga. Viwanja hivyo sasa vinauzwa kupitia kwa ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga. Utaratibu ni kama unavyoonekana katika picha hapa chini...
Wewe huwezi kuwa namba moja vinginevyo utuambie kuwa wewe ndio ulikuwa mtu wa kwanza kufanyiwa usajili ktk daftari la wa wapiga kura kwa kutumia bvr. Ukitaka kujua idadi ya wenye vitambulisho wasiliana na tume ya taifa ya uchaguzi itakupa takwimu sahihi.
Hata hivyo sio wote waliojiandikisha...
Yaani mfano wake ni kama kununua cheni ya bandia kwa pesa bandia!!!!
Safi sanaa shost, nimependa tamko lako, na ukizingatia mume ni bidhaa adimu kwa sasa.
Kampuni ya Makazi Solutions Ltd inawatangazia kuwa inauza viwanja kwa ajili ya makazi na biashara kama ifuatavyo:
1. Viwanja vya Tengelea Mkuranga. Bei ni sh 5000/- kwa 1sqm. Ukubwa unaanzia sqm 600 hadi 1500, yaani medium (ujazo wa kati) hadi low density (ujazo wa chini).
Mkuranga ni...
Hata tigo 3G mikoani ni shida tupu. Few weeks zilopita nilikuwa bukombe nilishindwa kupata tigo 3G internet. Nikaenda geita hali ikawa vile vile kama bukombe, no internet 3G. Nilihuzika sana.
Dokta pia nina maswali mawili kama ifuatavyo:
1. Swali toka kwa mke wangu.
Yeye idadi ya siku zake za hedhi haziko fixed. Zina-fractuate mara kwa mara. Zina-range kati ya 33 hadi 60. Yaan mwez huu zaweza fika 45 wakti mwezi ulopita zilikuwa 36 na mwezi ujao zaweza fika 54. Inatupa shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.