Habari wapendwa,
Wale walioomba nafasi za kazi UDSM May 2016 wameanza kuita watu. Usaili utafanyika Jumatatu 04.07.2016.
Msikae mbali na simu zenu, mimi nimetumiwa SMS na kupigiwa simu.
Habari wapendwa,
Mimi ni Personal Secretary nimeajiriwa na utumishi nafanyia kazi Mbeya mjini, lakini mume wangu anaishi na kufanya kazi Dar.
Natafuta mtu wa kubadilishana naye yeye atoke Dar aje Mbeya na awe ameajiriwa na utumishi, kwa aliyetayari naomba aje inbox
Leo ta 23/9 ni siku ya pili Sumatra inatutesa abiria wa G/Mboto kuna mgogoro kati ya UDA na Sumatra kwa hiyo UDA hazendi Ferry badala yake magari ya G/Mboto yanafanya safari kati ya Mnazi mmoja na ferry tukajua ni jana tu lakini hadi leo bado hali ni ile ile. Hii ya leo ndio kali nimefika mnazi...
Bunge limetipisha muswada wa marekebisho ya secretarieti ya ajira baadhi ya nafasi za kazi zitangazwe na halmashauri na kuajiri huko huko kama madereva, wahudumu, masecretary, watunza kumbukumbu masjala ni hizo ninazo zifahamu, swali langu, vipi kuhusu Maafisa Utumishi?
1. Betri ina jaa charge baada ya dakika tatu
2. ina TV, TOCHI na mswaki
3. NDEGE ikipita karibu simu ina andika 1 MISSED CALL
4. Ukiwa karibu na JIKO inaandika CHARGER CONNECTED
5.Ukipita karibu na MCHINA SIMU inaandika NEW DEVICE FOUND
KIJANA Ramadhan Suleiman Mussa Rama mla watu na mama yake Khadija Ally, leo wameachiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam baada ya kubainika kuwa mshitakiwa namba moja katika kesi hiyo (mla watu) alifanya kosa la mauaji akiwa na matitizo ya akili. Hata hivyo Rama Mla Watu...
Karibuni Songea Mji wa kitalii:
1. Kuna matuta makubwa ya barabarani Tanzania nzima (bumps) yapo bombambili ambapo kabla ya
kufika Songea mjini lazima ukutane nayo.
2. Kuna pikipiki nyingi kuliko watu.
3. Kuna matunda mengi ya kipekee kama madonga, masuku, mfudu, mbula, mamvubula na...
Jamambazi walivamia kanisa wakesama wanawaua wote kwa kufuata alfabet wakawauliza majina yao wakaanza na Mchungaji, naitwa Zeseph Zabrahamu badala ya Joseph Abrahamu, wapili naitwa Zobadia Zamweli badala ya Obadia Samweli, wa tatu naitwa Zanna Zadam badala ya Anna Adam, wa nne naitwa Zesta Zelia...
Mchaga kaanguka BENKI KUU watu wakamsaidi: mmoja akasema "MPENI MAJI MENGI" Mchaga akainuka kwa hasira akasema "acha ujinga wewe, ningetaka maji si ningeanguka DAWASCO?
1
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/D/22 22 Machi, 2013
KUITWA KAZINI
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwaarifu
waombaji kazi wa nafasi mbalimbali
waliofanya usaili kuanzia tarehe 27
Februari...
Baba na mama wakiwa wamelela ghafla usiku
MTOTO: Mama nataka nikakojoe
MAMA: Chukua tochi uende
mtoto akanyoosha mkono kutafuta tochi kumbe baba yake alilala uchi mtoto akashika mboo ya baba
yake akidhani tochi
BABA (wa kuzuga) we acha hiyo haina betri
1
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/D/21 08 Machi, 2013
KUITWA KAZINI
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwaarifu
waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 05
hadi 31 Januari, 2013 kuwa walioorodheshwa katika tangazo...
Mzungu alifiwa na mbwa wake akampeleka kanisani ili asaliwe, Padri akamkaripia kwa ukali hatusalii mbwa hapa! mzungu akauliza ni kanisa gani wanasalia maana nina sadaka ya milion tano kwa padri atakaemsalia! Padri akajibu ah! kwanini hukusema tangu mwanzo kama mbwa wako ni Mkristo? haya mlete...
J3 Bendera ya taifa itapepea nusu mlingoti, kutokana na msiba wa watu 246,000 waliokuwa wakitokea Form Four kwenda Form five kwa kutumia meli ya MV NECTA wamezama ktk ziwa Zero karibu na maeneo ya shule za Kata! Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Necta libarikiwe! Advance iliwapenda lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.