Mbona hzo cd zilshapgwa marufuku na alyetoa anasakwa na dola? Na c yy tu hta yule kiongoz alyeendesha kampen za kuchinja nae anasakwa? nasema hv yte n UCCM NA UCHADEMA Nachokiona chadema wanahtaj kuichafua ccm kwa kila hal na kidonda wanachosugulia pilipil n UDINI, hakuna anaewza kubisha kua...
Km miaka 4 mtt anafundishwa secondary kwa kingereza na bado 0 km kawa, natarajia kwa mfumo huo mitihan itakuja kwa mfumo wa majib ya kuchagua/kubahatisha, wtt wetu wataendelea kua chin ya utawala wa kna riz 1, richmond na wajukuu zao daima.
hv kuuliza ukafafanuliwa n ujinga? Au unajiona unajuuuuuuuua? Mbulula n ww ucyejua maana ya kuulza mbona alyeulizwa kajib vzr tu, au ultaka nkuulze ww uonekane unajua?
Utakua kula kulala ww unadhan kuitwa mwalm na bado serikal ikakuamin n mchezo eeh? Au unafkr hii n kaz ya kanisa/mckiti ulpwe uclipwe yote xawa? Mwendo n uleule napga mishe nyngne nfidie mapengo lyf gum mshahara mdogo, km vp mwanao mfundishe mwenyew, hutak subir 0 tuone nan zaid.
niltegemea jib kama hili liwepo kwan nmegundua nchi hii kiongoz yeyote mwenye iman ya kiislam hata atende mazur 1999 akakoxea 1 n hoja lakin hawa wenye iman nyingne wao @ n sawa na safi ndo maana upatu umemgeukia padre SLAA il awe RAIS.
Yaan wengne hata fomu hatujajaza tayar wanakata 2% juu kwa juu, huu n ubabe uliopitiliza, itaendelea kuwa 3*3 = 33, mpaka tupewe teachng allwance km wabunge wanavyopata stting allwance per day!
Cpat picha kama ingekua bungen kuna watu wana majina ya sheikh/ustadhat flan jins ambavyo wangekua mjadala kwa christians wa nchi hii, mbona kna wachungaj wabunge au waliowachagua n wakristo peke yao?, wagombea urais padre (slaa)&mchungaj(mtikila)? Mbona hatuckii kuitwa udin?? Na uktaka kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.